Posts

Showing posts from February, 2018

MORINHO;POGBA APEWE MUDA

Image
Meneja wa Manchester United José Morinho ametangaza kuwa kiungo wake wakati Pogba aliyewahi kuvunja rekodi ya usajili alipihamia kilabuni hapo ana shindwa kuwika vyema licha ya kuwa mchezaji mwenye hatari kubwa sana alipokuwa akicheza soka la Italia . " Pogba ni kiungo mzuri na pia anacheza kwa umakini mkubwa , ni yule yule tuliyewahi kumuona katika ligi ya Italia na ndio huyu huyu tunaemshuhudia sasa katika ligi ya Uingeleza , wote tunaamini kuwa ni mchezaji bora licha ya kuwa kwa kipindi hiki kifupi hafanyi vzuri . Hili ni suala la muda Pogba apewe muda   atakuwa bora zaidi na zaidi naamini hivyo " ni maneno ya José Morinho .

SOCCER

Image
Morinho : sina ugomvi na pogba..... Kocha mkuu wa kablu  tajiri iliyo na makazi yake jijini Uingereza mashetani wekundu,MANCH ESTER UNITED the special one Jose Morinho amekanusha uvumi ulioenea zaidi kwenye mitandao kuwa yeye na kiungo wa kati wa klabu hiyo Pogba kwamba wako kwenye mgogoro na mawasiliano yasiyo mazuri . Morinho alikili kuwa Pogba hakuganya vizuri katika mechi iliyo wakutanisha Manchester united na Newcastle united ambapo katika mechi hiyo Morinho alikubali kipigo cha goli kwa bila . Lakini pamoja na kocha huyo kujitetea kuwa hawana ugomvi tetesi zimesambaa kuwa Pogba kwa sasa hachezeshwi katika nafasi yake bali huchezeshwa katika safu isiyo na mashambulizi ndio maana anashindwa kufanya vizuri zaidi . Morinho aliongea na waandishi wa habari na kusema kuwa " sio kweli kwamba mimi na mchezaji wangu Pogba tuna ugomvi na sio kweli kwamba mimi na yeye hatuna maw