UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Hatimae draw ya 16 bora yatangazwa.UEFA CHAMPIONS LEAGUE ni moja ya ligi inayoongoza kwa  umaarufu zaidi duniani kutokana na msisimko wa hali ya juu katika ligi hii.Baada ya michuano mbalimbali kupigwa katika viwanja kadhaa ili kuwania tiketi ya kifuzu hatua ya 16 bora hatimae draw imetoka na klabu zikiwa  zinajiandaa kuchuana vikali ili kuibuka kidedea.

     IFUATAYO NI ORODHA YA 16 BORA:
(1)ROMA VS PORTO (date=12/2/2019 time= 23:00)

(2)MAN U VS PSG      (date=12/2/2019 time=23:00)

(3)TOTTENHAM VS DORTMUND (date=13/2/2019 time=23:00)

(4)AJAX VS R.MADRID (date=13/2/2019 time=23:00)

(5)LYON VS BARCELONA (date=19/2/2019 time=23:00)

(6)LIVERPOOL VS BAYERN (date=19/2/2019 time=23:00)

(7)AT.MADRID VS JUVENTUS (date=20/2/2019 time=23:00)

(8)SCHALKEL 04 VS MAN CITY (date=20/2/2019 time=23:00)

RAUNDI YA MARUDIANO
(1)R.MADRID VS AJAX (date=5/3/2019 time=23:00)

(2)DORTMUND VS TOTTENHAM (date=5/3/2019 time 23:00)

(3)PORTO VS ROMA (date=6/3/2019 time=23:00)

(4)PSG VS MAN U (date=6/3/2019 time=23:00)

(5)MAN CITY VS SCHALKE 04 (date=12/3/2019 time=23:00)

(6)JUVENTUS VS AT.MADRID  (date=12/3/2019 time=23:00)

(7)BAYERN VS LIVERPOOL  (date=13/3/2019 time=23:00)

(8)BARCELONA VS LYON (date=13/3/2019 time=23:00)

ZINGATIA:MUDA WOTE NI KATIKATI MFUMO WA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI




Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MATOKEO