Posts

UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Image
Hatimae draw ya 16 bora yatangazwa.UEFA CHAMPIONS LEAGUE ni moja ya ligi inayoongoza kwa  umaarufu zaidi duniani kutokana na msisimko wa hali ya juu katika ligi hii.Baada ya michuano mbalimbali kupigwa katika viwanja kadhaa ili kuwania tiketi ya kifuzu hatua ya 16 bora hatimae draw imetoka na klabu zikiwa  zinajiandaa kuchuana vikali ili kuibuka kidedea.      IFUATAYO NI ORODHA YA 16 BORA: (1)ROMA VS PORTO (date=12/2/2019 time= 23:00) (2)MAN U VS PSG      (date=12/2/2019 time=23:00) (3)TOTTENHAM VS DORTMUND (date=13/2/2019 time=23:00) (4)AJAX VS R.MADRID (date=13/2/2019 time=23:00) (5)LYON VS BARCELONA (date=19/2/2019 time=23:00) (6)LIVERPOOL VS BAYERN (date=19/2/2019 time=23:00) (7)AT.MADRID VS JUVENTUS (date=20/2/2019 time=23:00) (8)SCHALKEL 04 VS MAN CITY (date=20/2/2019 time=23:00) RAUNDI YA MARUDIANO (1)R.MADRID VS AJAX (date=5/3/2019 time=23:00) (2)DORTMUND VS TOTTENHAM (date=5/3/2019 time 23:00) (3)PORTO VS ROMA (da...

MAN U VS LIVERPOOL

Image
Leo katika ligi kuu ya nchini Uingereza maarufu kama English premier league kutakuwa na mchezo wa kukata na shoka,mchezo unaoenda kutazamwa na idadi kubwa ya watu kutoka pande zote za dunia,mchezo unaoenda kuamua nani atakaa kileleni mwa msimamo wa ligi.Kocha mkuu wa klabu ya Liverpool,Klop ametangaza hali ya hatari ni zaidi ya mauaji yatakayotokea katika katika uwanja wa nyumbani kwao Anfield.Liverpool ikiwa na historia ya nyuma ya kuichapa klabu ya Bounmouth magori 4 kwa bila mwishonj mwa wiki iliyopita,huku mshambuliaji hatari wa kikosi hicho cha Liverpool,Mohamed Sarah ikifunga magori matatu(hart trick).Lakini kwa upande wa Manchester United hali ni zaidi ya mauaji huku kocha mkuu wa klabu hiyo Jose Morinho akitangaza kumwagika kwa damu Anfield,Manchester United wakiwa na historia ya kuifunga Fulham magori 4 kwa 1 katika mchezo uliochezwa mwshon mwa  wiki iliyopita.     Mashabiki wa Liverpool wakiwa na maswali mengi kichwani mwao je mshambuliaji wao hatari Sarah ata...

TOTTENHAM HOTSPUR VS NEWCASTLE UNITED

Image
Lei katika ligi kuu ya Uingeleza mechi kadhaa zilipigwa na moja kati ya mchezo ulivuta hisia za wengi ni kati ya klabu ya Tottenham Hotspur dhidi ya wenyeji Newcastle United.Klabu zote zilionekana kuingia kwa kasi zaidi kuhakikisha kila mmoja anapata matokeo mazuri ndani ya dakika za mwanzo,hadi dakika ya nane Tottenham wanafanya shambulizi la kushitukiza lakini mlinda mlango wa klabu ya Newcastle anaokoa na kuipa kona Tottenham.Vertonghen anafanikiwa kuuzamisha mpira ndani ya nyavu za Newcastle nakuipatia klabu yake goli la kuongoza,wachezaji wa Newcastle wanapata nguvu wanafanya mashambulizi kadhaa langoni mwa Tottenham moja kati ya shambulizi lao linazaa matunda.Ndani ya dakika ya kumi na moja kipindi cha kwanza Joselu anaunganisha kwa kichwa klosi iliyopigwa na mshambuliaji mwenzie,Joselu anaipatia klabu yake goli la kusawazisha.  Mchezo ulionekana kuwa sawa katika pande zote mbili lakini vijana wa Tottenham Hotspur wanafanya shambulizi lingne na kufanikiwa kupata goli la pi...

EBOLA

Image
Kampeni ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa ebola  inayoendelea katika nchi iliyoko Mashariki mwa bala la Agrika ijulikanayo kama Jamhuri ya kidemoklasia ya congo inaelekea kumalizika hivi karibuni.Kwa mujibu wa taalifa kutoka nchini humo nikwamba,kupelekea kuwa na wasiwasi juu ya kusambaa kwa ugonjwa huo idadi kubwa ya watu wakihusishwa kuathiliwa zaidi.  Katika mlipuko ulitokea hivi karibuni kaskazini Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya kidemoklasia ya congo ididi kubwa ya watu wakihofiwa kuambukizwa virusi hivyo vya ugonjwa wa ebola.Kupitia kampeni hiyo ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa ebola serikali imetangaza kuwa zoezi hilo kwa sasa linakaribia kumalizika.    NB Ugonjwa wa ebola husababishwa na virusi wajulikanao kama eboviruses. UNAVYOSAMBAZWA : ugonjwa huu ni hatari sana na husambaa kwa njia zifuatazo (1)mgusano kati ya binadamu na vitu vyenye virusi hivi vya ebola mfano nguo,maji maji kutoka mwa mtu aliye athiliwa na virusi hivi. (2)migusano ya mdomo kwa  m...

MANCHESTER VS LEICESTER

BOFYA KUITIZAMA 👆👆VIDEO 

SOCCER

Image
Manchester united klabu ya jijini Uingeleza ikiwa nyumbani katika uwanja wao wa Old Trafold wamewachapa wapinzani wao klabu ya Leicester city magoli mawali kwa moja.Mchezo huo ulionekana kumilikiwa na pande zote mbili kwa kipindi cha kwanza lakini klabu ya Manchester waliongeza kasi zaidi ya ushambuliaji huku wakifanikiwa kupata goli la kuongoza kupitia mkwaju wa penati uliopigwa na kiungo maalufu na pia ni nahodha wa klabu hiyo Poul Pogba.Hadi kipindi cha kwanza kinamalizika klabu ya Manchester  United walikuwa mbele kwa holi moja,kipindi cha pili kilianza kwa kasi zaidi huku Leicester city wakitafuta goli la kukomboa kwa nguvu zaidi na upande wa Manchester United wakilazimisha kuongeza magoli mengi.Hatimae klabu ya Manchester United wanafanya shambulizi kali la kishitukiza huku Alex Sanchez akitoa pasi kwa Juan Mata na kisababisha klosi kwa Shaw ambae anafanikiwa kiuweka mpira nyavuni.Leicester city wanafanya mashambulizi yasiyozaa matunda lakini katika dakika za nyongeza Vard a...

RUSIA FIFA 2018

Image
Neymar jr yupo kwenye wakati mgumu sana katika mchezo wa mpira kufuatia timu yake ya taifa ya Brazili kutolewa na Ubelgiji katika hatua ya robo fainali kwenye mashindano yanayoendelea huku Urusi katika msimu wa mwaka 2018.Staa huyo anaekipiga ligi ya Ufaransa katika klabu ya Paris saint german almaarufu (PSG) licha ya kuwa na wakati mgumu katika timu yake ya taifa lakini pia anafikilia zaidi huenda hali hii ikamsumbua hadi kwenye klabu take anayochezea."Tulipambana kwa kila hali ili kuhakikisha tunafika mbali zaidi na kufikia hatua ya fainali na kupata heshima kubwa kutwaa kombe la dunia kwa msimu huu,lakini imekuwa tofauti na tulivyo tarajia hatukati tamaa ni wakati wetu sasa kujipanga kwa mashindano yajayo.Napata wakati mgumu sana lakini naamini MUNGU ataniongoza na kusahau yaliyotokea".alisema Neymar katika mahojiano na waandishi wa habari nchini Urusi mda mchache kabla ya kuondoka kwa timu yake kurudi Braziri.

MORINHO;POGBA APEWE MUDA

Image
Meneja wa Manchester United José Morinho ametangaza kuwa kiungo wake wakati Pogba aliyewahi kuvunja rekodi ya usajili alipihamia kilabuni hapo ana shindwa kuwika vyema licha ya kuwa mchezaji mwenye hatari kubwa sana alipokuwa akicheza soka la Italia . " Pogba ni kiungo mzuri na pia anacheza kwa umakini mkubwa , ni yule yule tuliyewahi kumuona katika ligi ya Italia na ndio huyu huyu tunaemshuhudia sasa katika ligi ya Uingeleza , wote tunaamini kuwa ni mchezaji bora licha ya kuwa kwa kipindi hiki kifupi hafanyi vzuri . Hili ni suala la muda Pogba apewe muda   atakuwa bora zaidi na zaidi naamini hivyo " ni maneno ya José Morinho .

SOCCER

Image
Morinho : sina ugomvi na pogba..... Kocha mkuu wa kablu  tajiri iliyo na makazi yake jijini Uingereza mashetani wekundu,MANCH ESTER UNITED the special one Jose Morinho amekanusha uvumi ulioenea zaidi kwenye mitandao kuwa yeye na kiungo wa kati wa klabu hiyo Pogba kwamba wako kwenye mgogoro na mawasiliano yasiyo mazuri . Morinho alikili kuwa Pogba hakuganya vizuri katika mechi iliyo wakutanisha Manchester united na Newcastle united ambapo katika mechi hiyo Morinho alikubali kipigo cha goli kwa bila . Lakini pamoja na kocha huyo kujitetea kuwa hawana ugomvi tetesi zimesambaa kuwa Pogba kwa sasa hachezeshwi katika nafasi yake bali huchezeshwa katika safu isiyo na mashambulizi ndio maana anashindwa kufanya vizuri zaidi . Morinho aliongea na waandishi wa habari na kusema kuwa " sio kweli kwamba mimi na mchezaji wangu Pogba tuna ugomvi na sio kweli kwamba mimi na yeye hatuna maw...

HUNGER

Image
The prime minister of United republic of Tanzania honorable Kassim Majaliwa resist the transfer of food outside of his country,Tanzania.The one who will be captured his or her food should be taken to the National food store,he announced this during the report he made in Eid committee after sala of Eid in Riadha masjid Moshi at Kilimanjaro that is because he want to protect Tanzania by hunger nowadays.He said that" if anyone seen to transfer food outside the country we will take the food and keep it in the National store and his or her car taken to police station , our country now is based on the e mprovement of internal industries . It is better to create machine in our country for grinding our crops inorder to create employment opportunity , that is to protect our citizen and our country from hunger nowsday ". Yesterday he saw 10 lory from Talakea which carrie large amount of food crops transfer...

UNBELIEVABLE

Image
Matha is the dog who have bad face on the world , the competition which held every year and now it attain 29 years since it it introduced . That competition conducted in Petalum at Carlifornia , Matha   won against 13 dogs in a competition and it given award of cash money of 1,500 dolars . Matha is under control of the owner Shirly Zindler have biggest mandible will be transfered to the New Yowk where the competition will be conducted , under the competition also that dog used as entatainment and show for the journalists . That situation will also consist other dogs collected from uncared street dogs .   Matha was saved previous by Zindler at the street when the owner of that dog don't care for it , she took to hospital where it made surgery and now is okey and see again . From the report state that Matha when it walk on the stage with it'...

TWINS

Image
Twins are more valuable due to some reason of different people on the world,a lot of families members need also to have twins although many people prefer twins to single but lower percent of them success to have a twins.That is due to how they looking when they dress similar clothes and walking together. There are some theories based on the availability of getting twins such as some say that in order to have a twins you must know that in your clan membership there are some member who have twins before. Scientists said that "there are a lot of ways of getting twins biologically instead of this also there are some women who have abilities and possibility of delivery a twins" they explained in deeply about this.    There are two types if twins which are (1)Identical twins  (2)Fraternal twins  The identical twins are the one obtained when the one female egg,ova will be fertilized by one male sperm,such kind of twins share the same placental and umbilical cord frequen...

WONDERFUL

Image
The  private air plane company from India give a reward of free traveling for life the child who delivered inside of that airplane,that plane was traveling from Saud Arabia to India.The process of delivered was helped by the one of the staff member who gain the knowledge of nursing when the plane is about 35,000 feet on the sky from the sea level.The report from those company announced that the child together with her mother were kept in the special hospital when the plane alive the city found west of haed city Mumbai,that plane known  as Boeng 737 and the health of both are actually normal in conditions.     It is the first time for that event to occur since it started their journey, for the delivered of baby in plane of that Indian company made a record as new event. It course the happiness and joy for the owner of that company, although for that event to occur is the first time to that company but in other airplane company is common.

INTERNATIONAL

Image
The scientists started to grow the potatoes as a part of their journey to the moon nowadays, the actual report from Chongqing morning post newspaper state that those potatoes should be keeping in the similar capable environment as the moon under control of special technology. It will be the part of those scientists when he take a journey to the moon by special technological device machine called Chang's -4 next year.     "That device machine it will be the shape like closed cylinder inside together with some insects needed for investigation and tests" said professor Xie  Gengxin from the University of Chongqing when he report on the Chongqing morning newspaper. The purpose of keeping potatoes together with those insects is to check if they can survive on the moon,if this test make the actual confirmation then human being also can have abilities to survive on the moon.

HOPE AGAIN

Image
The innocent prisoner who stayed in jail for about 17 year due to the suspected of thief now is happy after the person who have same biological physical appearance to be attacked by police . Richard Antony Jones from Kansas city thrown free from jail after the police to get real evidence of the man that involved on that case , the judge also said that in reality you can't make a contract between that two man .     Previous there is no evidence of DNA test nor finger print test for suspected and also the similar man does not be given a judgement for the case because the police continue with finding real evidence about that issue . Now the family of Antony Jones is happy after returned of their familiy member since 17 year ago .

EDUCATION

Image
The top ten best universities in the world was introduced by QS universities ranking,that arrangement is based on the typing of education books,the opinion of the students and staff member of the university on the development of global education Internationally and the contribution of that university internationally at larger.      The following are the top ten best universities on the world .    (1)MASSACHUSETT INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIT)    (2)STANFORD    (3)HARVARD    (4)CALIFORNIA INSTITUTE OF TECHNOLOGY (Caltech)    (5)CAMBRIDGE    (6)OXFORD    (7)UNIVERSITY COLLEGE OF LONDON    (8) IMPERAL COLLEDGE OF LONDON    (9) CHICAGO    (10) ETH ZURICH .

ACCIDENT

The military airplane of Burma disappeared with 100 peoples

ACCIDENT

Image
The military airplane of Burma disappeared tog ether with 100 peoples , that is according to the report from head quarter of Burma military center . That airplane disappeared when it trie to migrate from Yangon to the country which is found south near with Burma , Myeik but the activities of finding that plane and is continuing . " we have been lost a communication with that ship during the twenty five minutes to eleven by East Africa time line when our ship reached 20 mile west of Dawei" said the head of military center . In that ship there are 105 passengers and 11 staf .   Report from head quarter said that military helicopter and airplane send to that area for investigation in finding that plane and some injuries , but up to now there are probability of that plane   to be fallen due to emergence of some remaining material . That plane said it fol...

AFRICA

Image
Tanzanian's region femous for tourism Kilimanjaro alot of foreigner comes to climb mount Kilimanjaro for pleasure, leisure and study also take opportunity to see other attractive the highest tree in Africa.The investigation done by doctor Andreas Hemps with his wife from Germany confirm the presence of that highest tree which have 81.5 metre it called Mkukusu in swahili.The investigation done for about five year in all of the African countries   prove the presence of that highest tree which is 1600 meter from the sea level it seen in the Kilimanjaro National Park ( KINAPA ). "I came in Tanzania since 1996 in Christmas and I have make a forest research and confirm the presence of that highest tree,I have measure the length by using leza skana three times and I gote 80 meter . This help some tourist from various counties on the world to learn about that ." report doctor Andres to BBC journalist Aboubakari Kamau ....

BALON D'OR

Image
The president of Real Madrid football club in Spain Florentino Perez confirm that his super star player Christiano Ronaldo also is player of Portugal national team is the one who supposed to take balon d'or due to his help on the club to win UEFA champion league final by scored two gaol in agregration of 4-1 against Juventus football club .   The president of Real Madrid Perez explain the success of his club in this season after win two championship cup Laliga league and UEFA league .there is no end of season for Christiano Ronaldo to be fitter,fresher in form that that season .He supposed to take balon d'or by any mean cos no one helped his club to success in that season more than him,for every game that he played he show he hope even if the game is tough and harder.