SOCCER
![Image](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHLfNbJuN9QWKLt3-xTDJLxSkr7M9Gpg7zUMU3PFPVKYySycjtoa5F73J32BLlnjTPisB6l2UlAQYD6xspN50eoSNwXtMmzErjT1lU6J8sq7MEf88DH1Q6HRVaSXaXurD3u-WHwKu87VA/s640/141211114102_samir_nasri_640x360_gettyimages.jpg)
Shoka la Guadiola lamshukia Nasri . Kocha mkuu wa klabu ya Manchester city Pep Guadiola ameamua kumuweka nje mchezaji wake tegemezi Nasri kwa taalifa kuwa mchezaji huyo ameongezeka unene . Nasri aliwekwa nje hata wakati timu yake ilipocheza na klabu ya Borusia Dortmund ijapokuwa wachezaji wa akiba waliisha . Kitendo hicho kinaifanya klabu hiyo kuwa makini na afya ya michezo na kufuata utaratibu wote wa kocha wao .