SOCCER
Shoka  la   Guadiola  lamshukia  Nasri . Kocha  mkuu  wa  klabu  ya  Manchester  city  Pep  Guadiola  ameamua  kumuweka  nje  mchezaji  wake  tegemezi  Nasri  kwa  taalifa  kuwa  mchezaji  huyo   ameongezeka  unene . Nasri  aliwekwa  nje  hata  wakati  timu  yake  ilipocheza na klabu ya Borusia Dortmund  ijapokuwa  wachezaji  wa  akiba  waliisha .        Kitendo  hicho  kinaifanya  klabu  hiyo  kuwa  makini  na  afya  ya  michezo  na  kufuata  utaratibu  wote  wa  kocha  wao .