SOCCER

Messi afungiwa mechi nne  za kimataifa.
Mshambuliaji wa timu ya taifa  ya Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Messi amefungiwa mechi nne  za kimataifa baada ya kumtukana mwamuzi msaidizi katika mchezo uliopigwa mjini Buenos Aires kati ya timu ya Argentina na Chile iliyochezwa alhamisi.
   Shirika la  mpira  la  dunia FIFA limetangaza hukumu hiyo saa  chache kabla ya mechi kati ya Argentina na Bolivia kufuzu kombe la  dunia mwaka ujao.Baada ya kumkosa Messi Argentina walifungwa goli mbili na timu ya Bolivia,magori ya Bolivia yalifungwa na wachezaji Juan Carlos na Marcelo Martins mchezo uliopigwa katika mji wa La  Paz.

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI