SOCCER

Bastian Schweinsteiger apigwa konzi na Mourho.Kiungo  wa kati katika kikosi cha Mashetani wekundu Manchester United Schweinsteiger ana wakati mgumu katika kikosi hicho baada ya ujio wa kocha Jose Mournho.Nafasi yake  imechukuliwa na kiungo kutoka  Juventus Pogba hivyo kumfanya  asotee benchi.
    Wengine wachezaji tisa  wanaweza kutemwa katika klabu hiyo na wengine kuhama kwa mkopo.

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI