SOCCER

Shoka la  Guadiola lamshukia Nasri.Kocha mkuu wa klabu ya Manchester city Pep Guadiola ameamua kumuweka nje mchezaji wake tegemezi Nasri kwa taalifa kuwa mchezaji huyo  ameongezeka unene.Nasri aliwekwa nje hata wakati timu yake  ilipocheza na klabu ya Borusia Dortmund ijapokuwa wachezaji wa akiba waliisha.
      Kitendo hicho kinaifanya klabu hiyo kuwa makini na afya ya michezo na kufuata utaratibu wote wa kocha wao.

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU