KIMATAIFA

Wanafunzi wa kiafrika washambuliwa huko China.Waziri wa mambo ya nje wa India ndugu Sushma Swaraji ameagiza kufanyika kwa uchunguzi juu ya tuhuma za kushambuliwa kwa Waafrika katika jimbo la  Uttar Pradesh.Wanafunzi 4 wanauguza majeraha baada ya kushambuliwa vibaya huku msichana mmoja raia  wa Nigeria ikialifiwa kutekwa na wengine kushambuliwa jana  wakati wa maandamano ya kupinga kifo cha mvulana mmoja wa India katika mji wa Noida inahofiwa alipewa dawa za kulevya kupita  kiasi.

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI