BURUDANI

Msanii chipukizi wa muziki wa bongo fleva Harmorappa amikili hadhalani baada ya kuonekana kukimbia bastola iliyotolewa na mmoja  wa wanausalama katika mkutano aliofanya aliyekuwa waziri wa michezo na sanaa  mheshimiwa Nape Nauye.
     Harmorappa alionekana akikimbia mara  tuu baada ya kuona bastola alipotaka kumpa mkono mheshimiwa Nape baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari.

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI