BURUDANI

Ney aachiwa huru....
Msanii wa Tanzania Ney wa  mitego hatimae ameachwa huru  bara  baada ya kukamatwa na jeshi la  polisi kutokana na tuhuma za kuikashifu sirikali kupitia wimbo wake mpya aliotoa hivi karibuni.
    Jeshi la polisi limemkuta Ney bila hatia  kwa sasa yupo huru na yupo huru pia kuendeleza fani yake  ya muziki.je  unadhani ilikuwa sahihi kwa Ney kukamatwa?toa  maoni yako

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI