SIASA

Mwenyekiti mkuu wa chama cha mapinduzi nchini mheshimiwa John Magufuli ameutangazia umma kuwa hatojali nani anaongea nini  wala nani anataka nini  juu ya tuhuma za mkuu wa mkoa wa dar es salaam mheshimiwa Makonda.
       "Mimi huwa sipangiwi kazi,mimi  ni raisi ninae jiamini mimi  ndio ninaamua nani atakaa wapi nani ataondoka na wakati gani,Makonda wewe chapa kazi usisikilize maneno kwenye mitandao na mitaani wewe chapa kazi tuu" haya ndio maneno aliyosema Mheshimiwa John Magufuli mbele ya umma na waandishi wa habari..
  Je  uadhani mheshiwa yupo sahihi katika hili?toa  maoni yako

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI