SOCCER

Brazil ndio timu ya kwanza kufuzu kombe la  dunia.
Timu ya taifa  ya Brazil ndio timu ya kwanza kukata tiketi ya kufuzu kucheza michuano ya kombe la  dunia mwaka 2018.Brazil ilipata ushindi wa goli tatu kwa bila dhidi ya timu ya taifa  ya Paraguay,katika mchezo huo  mshambuliaji Neymar alionesha kiwango cha juu kuisaidia timu yake  kupata ushindi huo  mnono.
   Timu nyingine kama Uruguay na Argentina bado zimekabwa koo zikiwa na hatihati ya kutofuzu michuano hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

LOWASSA AACHIWA HURU

MAPENZI